Je, unakumbuka picha za mwalimu huyu,Owura Kwadwo.
Mafunzo ya kompyuta bila kwa njia ya ubao
Mwezi uliopita mwalimu huyu alivuma mtandaoni baada ya kuweka picha akichora programu ya Microsoft Word kwenye ubao wakati wa darasa la tarakilishi.
Mwalimu aliyefundisha darasa la kompyuta kwa njia ya Ubao azawadiwa
Iligundulika kwamba alifanya hivyo kwa sababu shule anayofundishia haikuwa na tarakilishi za kuwafundushia wanafunzi somo hilo la kompyuta.
Alisema "kufundisha somo la kompyuta nchini Ghana inachekesha.
Sasa mwalimu huyo anahudhuria mkutano wa walelimishaji wa Microsoft unaofanyikia nchini Singapore.
Ujumbe wa Twitter wa @MicrosoftAfrica: BREAKING NEWS We're excited to see Owura Kwadwo Hottish in Singapore attending the Microsoft Global Education Exchange Summit! Hakimiliki @MICROSOFTAFRICA
Ameandika katika ukurasa wake wa Facebook, "Nimefika nchini Singapore katika mkutani wa Microsoft Global Education Exchange, Ninatarajia kujifunza mengi. Asante Microsoft.
Baada ya picha yake Owura Kwadwo kusambazwa sana kwenye mitandao ya kijamii ya Facebook na Twitter, kampuni ya Microsoft ilivutiwa na mwalimu huyo na kumpatia msaada wa vifaa vya kumsaidia katika kazi yake.
Usisahau ku share Facebook, Twitter, Instagram


Hakuna maoni:
Chapisha Maoni
thank you